Jeshi la Sudan limefanya mapinduzi dhidi ya serikali ya taifa hilo, licha ya kwamba maafisa wa kijeshi walikuwa sehemu ya serikali hiyo. Hali hiyo inaiweka Sudan katika hatari ya kukosa uungwaji mkono ndani ya nchi na hata kimataifa/ Tigray: Hali ya kiutu kwa raia inazidi kuwa mbaya/ Congo: Kesi ya aliekuwa Waziri Mkuu Matata Ponyo imeanza kusikilizwa