Rais wa Tanzania John Magufuli aliingia madarakani mwaka 2015, akichukuliwa kama mtu wa watu na mwanaharakati anayepinga vikali ufisadi na kuchukua hatua kali dhidi ya uhalifu huo kama alivyoahidi// Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa zamani akiwa pia kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga wamezindua rasmi ripoti ya maridhiano, maarufu BBI inayolenga kuwaunganisha Wakenya pamoja.