Marais wa Urusi na Ufaransa wamefanya mkutano kwa njia ya video na kuahidi kuimarisha ushirikiano zaidi. Umoja wa Ulaya umeshindwa kuafikiana kuhusu kufungua mipaka yake kwa raia wa mataifa mengine. Upinzani unaelekea kupata ushindi katika uchaguzi wa rais nchini Malawi.