1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

27.06.2020 - Taarifa ya Habari za Asubuhi

V2 / S12S27 Juni 2020

Marais wa Urusi na Ufaransa wamefanya mkutano kwa njia ya video na kuahidi kuimarisha ushirikiano zaidi. Umoja wa Ulaya umeshindwa kuafikiana kuhusu kufungua mipaka yake kwa raia wa mataifa mengine. Upinzani unaelekea kupata ushindi katika uchaguzi wa rais nchini Malawi.

https://p.dw.com/p/3eQ1h