Waziri Mkuu wa Uingereza arejea kazini/ Congo: wakaazi wa mji wa Uvira katika mkoa wa Kivu Kusini wamekaidi maagizo ya viongozi wao yanayohusu hatua za kupambana na kuenea kwa ugonjwa wa Corona/ Waasi wa kusini mwa Yemen wametakiwa kuzingatia mpango wa kugawana madaraka/ Ripoti ya SIPRI- matumizi ya kijeshi yaongezeka duniani