Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amesema kutakuwa na mazungumzo ya kusitisha mapigano kati ya serikali yake na wapiganaji wa jimbo la Tigray+++Mashirika ya kijamii mjini Mombasa yameanzisha mchakato wa kuwahamasisha vijana wajitokeze kwa wingi na kujisajili kama wapiga kura+++Misri, Guinea ya Ikweta zatinga robo fainali AFCON kwa penalti.