Mafanikio ya hivi karibuni ya kampuni ya AstraZeneca inayotengeza chanjo dhidi ya COVID-19 yamepokelewa kwa hisia mchanganyiko barani Afrika, huku vizingiti vikiendelea kuwepo katika upatikanaji wa chanjo hiyo kwa nchi masikini za bara hilo/ Mwanamitindo kwa jina Ilunga anapambana kubadili mtizamo wa Wachina juu ya warembo wa Kiafrika