Mrengo wa kulia washinda uchaguzi Italia/ Raia wa Iran waendelea kuandamana licha ya onyo la Mahakama/ Goma: Vijana wenye hasira wamefunga barabara kadhaa wakidai kuondolewa kwa utawala wa kijeshi pamoja na kuondolewa askari wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa/ Umoja wa Falme za Kiarabu wakubali kusambaza gesi na dizeli nchini Ujerumani