Wanaharakati washutumu jeshi la Uganda kwa ukiukaji wa haki// Makundi ya vijana yaungana Kenya dhidi ya uhalifu// Ripoti inatarajiwa kuchapishwa na shirika la kijasusi la Marekani kuhusiana na kuhusiana na ushiriki wa mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman katika mauaji ya kikatili ya mwandishi habari Jamal Khashoggi.