SiasaAfrika26.01.2021 - Matangazo ya Asubuhi To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaAfrikaRashid Chilumba26.01.202126 Januari 2021Baraza la Seneti nchini Marekani limepokea hati ya mashtaka dhidi ya Donald Trump. Kansela wa Ujerumani na rais wa Marekani wamefanya mazungumzo ya kwanza kwa njia ya simu. Israel imezuia safari zote za ndege kupambana na janga la virusi vya corona.https://p.dw.com/p/3oPGIMatangazo