Ulimwengu unaadhimisha siku ya kupambana na ukatili dhidi ya wanawake/ Tanzania: Wizara yenye dhamana ya chaguzi za serikali za mitaa, vijiji na vitongoji, imetangaza rasmi matokeo ya uchaguzi/ Pokot Magharibi: Idadi ya vifo vilivyotokana na maporomoko ya ardhi imeongezeka na kufika 65/ Meya wa Bujumbura ametangaza hatua 10 alizozitaja kama za kusaidia kuufufua uchumi wa Burundi