Ujerumani: Uongozi wa chama cha CDU unaunga mkono msimamo wa kansela Merkel kuhusiana na mvutano pamoja na chama ndugu cha CSU kuhusu wakimbizi/ Algeria yawatelekeza wahamiaji kwenye jangwa la Sahara/ Waangalizi waukosoa uchaguzi wa Uturuki/ Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo- Hali ya kisiasa/ Kombe la Dunia 2018