Rais Donald Trump wa Marekani leo anakutana na wakuu wa asasi za Umoja wa Ulaya mjini Brussels// Wanajeshi wameweka ulinzi kwenye majengo ya serikali katika mji mkuu wa Brazil, Brasillia // Rais wa Indonesia Joko Widodo ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike kuhusiana na mashambulizi mawili ya kujitoa muhanga.