1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

25.03.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S25 Machi 2021

Mwili wa Marehemu John Magufuli,Rais wa awamu ya Tano wa Tanzania umewasili mjini Chato mkoani Geita// Wanawake kadhaa katika wilaya ya Newala Mkoani Mtwara nchini Tanzania wanakabiliwa na changamoto za kudhulumiwa mali, kukosa haki na kushindwa kujisimamia pindi ndoa zinapovunjika// Nchini Ujerumani ongezeko la maambukizo ya virusi vya corona linasababisha kishindo katika nyanja mbalimbali.

https://p.dw.com/p/3r629