Rais wa Mexico Andres Manuel Lopez amegunduliwa kuwa na virusi vya corona.
Viongozi wa Marekani na Ufaransa wamekubaliana kuimarisha ushirikiano kwa kufanya kazi kwa karibu.
Watu wasiopungua 9 wamekufa nchini Msumbiji kutokana na kimbunga cha kitropiki.