Kundi la wataalamu wa sheria za uchaguzi na data za kompyuta limeishauri kampeni ya aliyekuwa mgombea wa chama cha Democratic katika uchaguzi wa rais wa Novemba 8 nchini Marekani, Hillary Clinton, kutaka kura katika majimbo matatu muhimu zihesabiwe upya// Rais wa bunge la Umoja wa Ulaya Martin Schulz ametangaza rasmi kuwa ataingilia siasa za Ujerumani na huenda atawania kiti cha ukansela.