Wanaharakati watatu wa kutetea haki za binadamu wamekamatwa nchini Kenya kufuatia maandamano yanayolaani wizi wa mamilioni ya fedha zilizotengwa kwa ajili ya juhudi za kukabiliana na ugonjwa wa COVID 19/ Wanajeshi kuongoza kipindi cha mpito cha miaka mitatu Mali/ Pompeo ziarani Mashariki ya Kati kusaka muafaka wa Waarabu na Waisraili/ Pompeo amewasili nchini Israel