1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

24.06.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S24 Juni 2019

Pompeo akutana na Mfalme wa Saudia kwa mazungumzo mjini Jeddah/ Watawala wa kijeshi wa Sudan wameutaka Umoja wa Africa na Ethiopia waunganishe juhudi zao na kuratibu muongozo wa kipindi cha mpito nchini humo/ Kenya: Mawaziri watatu wamekanusha madai ya kupanga njama ya kumuua naibu rais William Ruto ili kuzuia azma yake ya kuwania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu ujao/

https://p.dw.com/p/3L0OZ