1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.11.2016 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S23 Novemba 2016

Baada ya kutangaza kugombea tena ukansela nchini Ujerumani, Angela Merkel huenda akakabiliwa na mtihani mkubwa katika maisha yake ya kisiasa// Ukuwaji wa matumizi ya mitandao ya kijamii miongoni mwa vijana nchini Tanzania unatajwa kuwa miongoni mwa sababu za serikali ya huko kuweka sheria ya kukabiliana na uhalifu mitandaoni.

https://p.dw.com/p/2T6C2