1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.10.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Oktoba 2018

Congo: Wizara ya Afya imesema timu za wahudumu wa afya katika mripuko wa sasa wa ugonjwa wa Ebola hushambuliwa mara tatu au nne kila wiki/ Wafungwa 52 wafariki kabla ya kufikishwa mahakamani Madagascar/ China imefungua daraja refu zaidi duniani linalokatisha bahari kuunganisha bara ya china na eneo lenye utawala wa ndani la Hongkong/

https://p.dw.com/p/371sR