1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.09.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S23 Septemba 2021

Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania atarajiwa kuhutubia kwa mara ya kwanza mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa++Kenya yaanza kutuma misaada kwa wafugaji ambao wanakabiliwa na njaa kufuatia ukame++Sudan yachukuwa udhibiti wa mali zilizoidia kundi la Hamas++Mkuu wa Shirika la Chakula Duniani, WFP, ametahadharisha kwamba watu milioni 16 nchini Yemen wanaelekea kukabiliwa na ukosefu wa chakula.

https://p.dw.com/p/40jvm