1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.09.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S23 Septemba 2021

Mkutano wa UN kupinga ubaguzi wa rangi wasusiwa na baadhi ya mataifa+++Jumapili ya Septemba 26 Ujerumani itafanya uchaguzi utakaohitimisha enzi ya Kansela Angela Merkel+++Tanzania imeagiza balozi zake kote duniani kuanza utaratibu wa kutafuta fursa za elimu ya teknolojia ya viwanda kwa ajili ya wajasiriamali wa nchini mwao+++Mamlaka nchini Sudan zinasema zilifanikiwa kutibua jaribio la kuipindua.

https://p.dw.com/p/40grn