Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na:Umoja wa Afrika umesema umeanza kuweka wanajeshi na wachunguzi wa haki za binadamu nchini Burundi baada ya uchaguzi uliofanyika siku ya Jumanne// Rais Barack Obama wa marekani anatarajiwa kuwasili Kenya kesho Ijumaa kuanza ziara ya siku mbili nchini humo.