Kansela wa Ujerumani Olaf Scholz amesema kwamba mpaka sasa kuna pengo katika upatikanaji wa chanjo za Corona miongoni mwa mataifa+++Rwanda leo imekuwa mwenyeji wa mkutano wa kilele wa kutokomeza malaria na magonjwa 20 ya kitropiki yasiyopewa kipaumbele+++Wakuu wa nchi zinazounda kundi la BRICS, yaani Brazil, Urusi, India, China na Afrika Kusini, wanakutana kwa njia ya vidio.