1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.06.2017 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S23 Juni 2017

Waziri mkuu wa Uingereza bibi Theresa May ameyatetea mapendekezo yake kuhusu kudhaminiwa haki za raia wa umoja wa ulaya kuishi nchini Uingereza// Mahakama ya Rufaa nchini Kenya imeamua kuwa matokeo ya mwisho ya uchaguzi nchini Kenya yatatolwa katika ngazi jimbo// Rais wa zamani wa Botswana, Ketumile Masire, amefariki dunia katika hospitali moja kwenye mji mkuu wa nchi yake, Gaborone.

https://p.dw.com/p/2fIBB