1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

23.02.2018 Matangazo ya jioni

SK2 / S02S23 Februari 2018

Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA kimeituhumu ofisi ya msajili wa vyama vya siasa nchini humo kwa kutumiwa na serikali kujaribu kukifuta chama hicho// Mamia ya wahamiaji wa kiafrika walioko kizuizini nchini Israel wameandamana siku ya alhamis pamoja na kuendelea na mgomo wa kutokula chakula wakipinga sera mpya ya Israel.

https://p.dw.com/p/2tEnR