Ujerumani na Ufaransa kutia saini mkataba wa ushirikiano/ Tanzania: Karume atoa ufafanuzi wa kisheria ubunge wa Lissu/ Rais wa Zimbabwe ameapa kuvichunguza vikosi vya usalama baada ya kutekeleza ukandamizaji wa kikatili dhidi ya waandamanaji, wanaharakati na waandaaji wa maandamano yaliyoibuka wiki iliyopita/ Mgomo wa walimu chuoni Makerere nchini Uganda umeingia siku yake ya pili