Marais wa Uturuki Erdogan na Putin wa Urusi wamekutana mjini Sochi/ Kenya: Idadi ya watu walioga dunia kufuatia mvua kubwa ambazo zinaendelea kushuhudiwa imefikia 10 huku zaidi ya watu laki moja wakipoteza makazi yao/ Uganda: Shirika la Human Rights Watch kushtumu hatua ya mamlaka ya mawasiliano ya nchi hiyo kuzidi kubana shughuli zao kwa madai kwamba vinachochea wananchi.