Ufalme wa Saudi Arabia watoa rambirambi kwa familia ya Khashoggi/ DRC: Wakaazi wa bonde la Ruzizi wanaishi katika hofu baada ya wapiganaji zaidi ya 300 kutoka Burundi kuvuka mpaka wa Congo / Kenya: Raila Odinga ameteuliwa kuwa mwakilishi mwandamizi wa Umoja wa Afrika kwenye masuala ya maendeleo ya miundombinu/ Australia yawaomba radhi watoto walioathirika na unyanyasaji wa kingono/