Tanzania: Magufuli amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama nchini humo kutotumia nguvu za ziada katika kipindi chote cha kampeni za uchaguzi mkuu/ Shughuli za kiuchumi zaanza kurejea nchini Uganda/ DRC yatangaza kulegeza masharti ya kukabiliana na corona/ Rais Trump abadili msimamo kuhusiana na barakoa/ Mvutano wa wanachama wa NATO Ugiriki na Uturuki wapamba moto