Rwanda: Maandalizi ya mwisho kujenga kiwanda cha kutengeneza chanjo dhidi ya Covid-19/ Miito ya kuwafirikia wanafunzi wazazi Tanzania yahanikiza/ UN: Ukatili dhidi ya watoto waongezeka pakubwa 2020> Je, ripoti ya UN inaakisi ukweli wa mambo nchini Congo?/ Kenya: Vita dhidi ya ukeketaji vimepata msukumo mpya/ Maoni: Manifesto ya CDU/CSU haina majibu yanayotosheleza