1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.05.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S22 Mei 2018

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza amejiunga na kikosi cha viongozi wa Afrika wenye njaa ya madaraka// Wiki ya ubunifu iliyoandaliwa na Mfuko wa Kimataifa wa Ubunifu kwa Maendeleo ya Binadamu, HDIF, ambapo takriban vijana elfu mbili watashiriki// Mkutano wa kilele baina ya Rais Donald Trump na kiongozi wa Korea ya Kaskazini Kim Jong Un umeanza kugubikwa na hali ya mashaka.

https://p.dw.com/p/2y5dX