1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

22.01.2020 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S22 Januari 2020

Davos: Jukwaa la Kiuchumi Duniani/ Magufuli amewahakikishia wanadiplomasia walioko Tanzania kuwa nchi hiyo itakuwa na uchaguzi wa amani, huru na haki/ Lebanon yatangaza serikali mpya lakini maandamano yaendelea/ Uganda: Wabunge kupokea vitisho vya kuuawa kutoka kwa watu/ Kenya: William Ruto na washirika wake wamebadili msimamo na kujiunga na kambi inayounga mkono mpango wa maridhiano wa BBI

https://p.dw.com/p/3WdPy