Mataifa duniani kote yameendelea kupiga marufuku safari za ndege pamoja na wasafiri kutoka Uingereza, wakati nchi hiyo ikiripoti kuwa aina mpya ya kirusi cha corona iliyogundulika nchini humo/ DRC: Mgawanyiko waukumba muungano wa rais mstaafu Kabila/ Kagame: Mazungumzo ya usalama ya Rwanda na Burundi yaendelea/ Upinzani Tanzania wataka mabadiliko ya mifumo ya utawala