Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo- Hali ya mambo kuhusiana na hatma ya uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika siku ya Jumapili// Marekani imeanza tena kuwaweka watoto wa wahamiaji kwenye vituo vya mahabusu// Marekani ina mkakati mpya katika Afrika ili kukabiliana na ushawishi wa China na Urusi katika bara hilo.