Serikali ya Sudan inasema imezima jaribio la mapinduzi na hatua zinachukuliwa kudhibiti hali, huku washukiwa wakihojiwa+++Burundi, Bujumbura- Mashambulizi ya mabomu kadhaa yaliripuliwa maeneo ya mjini kati ambako kuna kituo cha mabasi+++ Ethiopia kufanya duru ya pili ya uchaguzi wa pili bila ya Tigrayy+++HRW: Wahanga wa ukatili wa kijinsia wakosa msaada Kenya.