Jopo a majaji watatu wa mahakama kuu limepitisha uamuzi wa kufutiwa uwakili wakili wa Tanzania Fatma Karume kubwa ni batili/ Tanzania: Kitisho cha wimbi la tatu la virusi vya corona/ Umoja wa Ulaya yaiondolea Burundi vikwazo/ Kenya: Jamii ya wasomali wamejitokeza kushutumu vitendo vya utekwaji nyara/ Ethiopia imefanya uchaguzi wake wa sita/ Rais mteule wa Iranasema hatakutana na Biden