Iran na Marekani zimekuwa katika vita vya maneno vyenye kusababisha hofu ya usalama wa dunia// Ripota wa DW Bernd Riegert anautaja uchaguzi unaokuja wa bunge la ulaya kuwa ni muhimu kupita kiasi// Raia wa Malawi wanakwenda vituoni hii leo kuchaguwa viongozi wao kuanzia rais, wabunge na madiwani, katika uchaguzi wenye ushindani mkali ambamo wagombea wanane wanawania kiti cha urais.