Waasi Chad wadai kusogea mji mkuu wa N'Djamena/ Derek Chauvin: Majaji wasema hukumu yake inatarajiwa kutolewa ndani ya kipindi cha miezi miwili na anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka 40 gerezani> Mahojiano/ Kenyatta ziarani Congo/ Ujerumani: Serikali kuu kuongoza vita dhidi ya COVID-19/ Putin awaonya wanaoingilia masuala ya ndani ya Urusi