Urusi na Ukraine zimefikia makubaliano muhimu ya kuendelea kusafirisha nishati ya gesi. Polisi ya India imewauwa waandamanaji wawili katika eneo la kusini ya nchi ya hiyo. Afisa wa zamani wa serikali ya Rwanda amepatikana na hatia ya mauaji ya kimbari nchini Ubelgiji.