Polisi ya Hongkong inatishia kutumia risasi za kweli, lakini matumizi yaliyokithiri ya nguvu sio ufumbuzi wa mzozo wa jimbo hilo// Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis ameanza ziara ya siku tatu nchini Thailand// Ili kuongeza kasi ya uwekezaji na kuendelea kuchochea mabadiliko ya kiuchumi chini Tanzania, serikali imeshauriwa kuongeza juhudi na kufanya mabadiliko ya haraka.