1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

20.09.2019 Matangazo Ya Mchana

SK2 / S02S20 Septemba 2019

Viongozi wa dunia wakijiandaa kwa mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi mjini New-York, mamilioni ya vijana wa dunia hawajenda shule au kazini wanaandamana kudai hatua za dharura dhidi ya mabadiliko ya tabianchi//Waziri mkuu Benjamin Netanyahu na mpinzani wake Benny Gantz wametoa wito wa kuundwa kwa serikali ya muungano

https://p.dw.com/p/3Pwlu