Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni pamoja na:Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameisifu Brazil leo kwa kupiga hatua kubwa katika kupunguza uharibifu katika msitu wa Amazon// Ukraine imesema wanajeshi wake wanne wameuwawa na wengine 14 wamejeruhiwa katika mapigano mapya na wapiganaji wanaotaka kujitenga mashariki mwa nchi hiyo.