Merkel atembelea jimbo lingine lililokumbwa na mafuriko/ Kinshasa: Madaktari wa hospitali za umma wametangaza kuuongezea makali mgomo wao kwa muda wiki moja/ HRW: Mpango wa serikali ya Kenya wa kuwasaidia waathirika wa janga la Covid-19 nchini humo umewanufaisha wachache na wasikusudiwa/ Rais wa mpito wa Mali yuko salama baada ya shambulio/ Mtoto wa mkulima atangazwa mshindi wa urais Peru