Mawaziri Tanzania kujadili sakata la tozo ya miamala/ Chadema kuendelea na makongamano ya Katiba mpya/ Rwanda yaanza mkakati wa kupima corona vijijini/ Afrika Kusini: Zuma amejitokeza leo kwa njia ya video wakati kesi ya ufisadi dhidi yake ilipoendelea kusikilizwa kwenye mahakama ya juu/ Biden leo anamkaribisha mfalme Abdullah wa pili wa Jordan