Mpango wa EU wa kufufua uchumi unaelekea kufikiwa/ Uingereza kusitisha mkataba wa kubadilishana watuhumiwa na Hong Kong/ Wabunge katika mkoa wa Kivu kusini wanashuhudia kifo cha watu zaidi ya 200 baada ya shambulizi/ Ripoti ya HRW: COVID -19 yasababisha vifo kwa wafungwa nchini Misri/ Ujerumani imetoa msaada kwa jumuiya ya Afrika mashariki ili kusaidia kupambana na maambukizi ya virusi vya Corona