Viongozi wa EAC wakutana kujadili usalama wa Kongo/ Nchini Tanzania mabishano makali yameibuka bungeni kufuatia sakata linaloendelea wilayani Loliondo kaskazini mwa Tanzania/ Mzozo wa Ukraine/ GMF: Washiriki 2,000 wahudhuria kongamano la vyombo vya habari Bonn/ Waandishi habari wawili waliokusanya matukio ya kutisha katika mji wa Mariupol wametunukiwa tuzo ya DW ya uhuru wa kujieleza