Hali ya kisiasa nchini Tanzania> Mahojiano na Prof. Lipumba/ Kimbunga Idai: Msaada wa dharura waanza kutiririka maeneo yaliyoathirika/ Kampeni za uchaguzi wa bunge zaanza Congo mashariki/ Marekani huenda ikaiwekea vikwazo vikali Venezuela/ Somalia: Amnesty International linalituhumu jeshi la Marekani kuficha ukweli kuhusu raia waliouwawa kufuatia hujuma za angani dhidi ya wanamgambo wa Al Shabab