Tanzania- Chama cha Mapinduzi CCM, kimempitisha Naibu Spika wa bunge la Tanzania, Tulia Ackson kuwa mgombea wa nafasi ya spika wa bunge+++Umoja wa Ulaya umetishia kuiwekea Urusi vikwazo vikubwa vya kiuchumi iwapo itaivamia Ukraine+++Papa Benedict XVI alaumiwa kwa unyanyasaji wa watoto+++Mkanyagano Liberia waua watu 29.