Viongozi wa kimataifa wakubaliana kuhusu hatua mpya za amani Libya/ Michel Aoun atakutana na maafisa wa Usalama kujadili amani ya Lebabon/ Kenya: Viongozi wa kidini katika eneo la pwani wameomba ulinzi kutoka serikalini/ Hali ya kisiasa nchini Kenya inaelezwa ni kama vile uchaguzi mkuu unafanyika muda wowote kuanzia sasa, kwa jinsi wanasiasa mahasimu wanavyoendesha siasa zao