Watu watatu wafariki Uganda katika ghasia za uchaguzi/ Polisi Tanzania: Wapinzani mlioko uhamishoni rudini nyumbani/ Visiwani Zanzibar, Rais mpya wa visiwa hivyo ametangaza baraza lake jipya la mawaziri 15/ Ethiopia yamshutumu mkuu wa WHO kwa kuwasaidia waasi/ Wanajeshi wa Australia walitenda uhalifu wa kivita Afghanistan - Ripoti